Psalms 72:1-5

Maombi Kwa Ajili Ya Mfalme

Zaburi ya Solomoni.

1 aEe Mungu, mjalie mfalme aamue kwa haki yako,
mwana wa mfalme kwa haki yako.
2 bAtawaamua watu wako kwa haki,
watu wako walioonewa kwa haki.
3Milima italeta mafanikio kwa watu,
vilima tunda la haki.
4 cAtawatetea walioonewa miongoni mwa watu
na atawaokoa watoto wa wahitaji,
ataponda mdhalimu.

5 dAtadumu kama jua lidumuvyo, kama mwezi, vizazi vyote.
Copyright information for SwhNEN